RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Nd,Ame
Burhan Shadil kuwa Naibu Mhasibu Mkuu wa Serikali katika hafla
iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na
Ikulu,]11/02/2020.
Baadhi
ya Viongozi waliohudhuria katika hafla ya kuapishwa Viongozi katika
Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani),(kulia) Mshauri wa Rais masuala ya Uwekezaaji na
Uwezeshaji Mhe.Abdurahman Mwinyi Jumbe na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh
Saleh Omar Kabi, [Picha na Ikulu,]11/02/2020.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Nd,Khatib
Mwadin Khatib kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango katika
hafla iliyofanyika leo ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.[Picha na
Ikulu,]11/02/2020.
Baadhi ya Viongozi walioshuhudia uapishwaji wa Viongozi walioteulia na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani
leo katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]11/02/2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...