Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii Dkt, CP Mussa Ali Mussa (katikati)
akiingia katika ukumbi wa Hotel ya Landmark Kunduchi Jijini Da es Salaam
alipokwenda kufungua mkutano wa kujadili na kupanga mikakati ya kuzuia
makosa yanayovuka mipaka. Mkutano huo umeshirikisha nchi wanachama 16
kutoka shirikisho la Wakuu wa Polisi wa Nchi za Mashariki mwa Afrika (
EAPCCO). Kulia ni Mkuu wa ofisi za Interpol Mashariki mwa Afrika, Gedion
Kimilu. Kushoto ni Mratibu wa Mafunzo wa Chuo cha Masomo ya Usalama
Afrika kilichopo Afrika ya Kusini, Willem Els. (PICHA NA JESHI LA
POLISI)
Kamishna wa Ushirikishwaji wa Jamii Dkt, CP Mussa Ali Mussa akiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kufungua mkutano wa kujadili na kupanga mikakati ya kuzuia
makosa yanayovuka mipaka. Mkutano huo umeshirikisha nchi wanachama 16
kutoka shirikisho la Wakuu wa Polisi wa Nchi za Mashariki mwa Afrika (
EAPCCO). Kulia ni Mkuu wa ofisi za Interpol Mashariki mwa Afrika, Gedion
Kimilu. Kushoto ni Mratibu wa Mafunzo wa Chuo cha Masomo ya Usalama
Afrika kilichopo Afrika ya Kusini, Willem Els.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...