Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kondoa Mhe. Hamza Mafita akiongea katika kikao cha wadau wa Elimu
Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mhe. Sezaria Makota akisisitiza jambo katika kikao cha wadau wa Elimu
Afisa Elimu Msingi Mwalimu Hassan Mtamba akisoma taarifa ya Idara ya Elimu Msingi wakati wa kikao cha Wadau wa Elimu.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kondoa Msoleni Dakawa akiongea katika kikao cha wadau wa Elimu
Mdhibiti Ubora Elimu Wilaya ya Kondoa Habiba Mafita akiwasilisha taarifa ya Idara yake katika kuboresha Elimu ndani ya Halmashauri.
Waheshimiwa Madiwani Halmashauri ya Mji Kondoa (mstari wa kwanza kushoto) na wadau mbalimbali wakifuatilia agenda za kikao cha Wadau wa Elimu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...