Moja kati ya nyumba zilizopo mtaa wa Chadigwa wilaya ya Kigamboni jijini Dar es Salaam ambazo wakazi wake hupatwa na wakati mgumu na hasa nyakati hizi za mvua zinazoendelea kunyesha jijini,zikiwa zimezungukwa na maji kama inavyonekana pichani kutokana na ujenzi usio na mpangilio katika eneo hilo,lakini pia mkusanyiko wa maji hayo huweza kusababisha magonjwa ya mlipuko.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...