Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Fedha Taslim Shilingi Milioni Tano alizochangia kwenye ujenzi wa JENGO LA ccm Mkoa wa Pwani wakati wa Harambee iliyofanyika leo Febuari 15,2020 kwenye  Maadhimisho ya Miaka 43 ya CCM Mkoa wa Pwani  leo Febuari 15,2020 katika Uwanja wa sabasaba Mjini kihaba ambapo Jumla ya Shilingi Milioni 12,684,800. Mifuko 100 ya Saruji, Ndoo 10 za Rangi, Tshs. 1,900,000. ni ahadi.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani  Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 43 ya CCM Mkoa Pwani  yaliyofanyika leo Febuari 15,2020 katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kibaha.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikata Keki  Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 43 ya CCM Mkoa wa Pwani  yaliyofanyika leo Febuari 15, 2020 katika uwanja wa saba saba mjini Kibaha.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimlisha Keki  Mwenyekiti  wa CCM Mkoa wa Pwani  Ramadhani Maneno  Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 43 ya CCM Mkoa wa Pwani  yaliyofanyika leo Febuari 15,2020 katika Uwanja wa sabasaba Mjini kihaba.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimlisha Keki  Mmoja ya wasanii wa Muziki  Raia wa Japani Ryuta Okamoto Afisa wa Maendeleo Songea Vijiji  JICA, aliyetumbuiza kwenye  Maadhimisho ya Miaka 43 ya CCM Mkoa wa Pwani  yaliyofanyika leo Febuari 15,2020 katika Uwanja wa sabasaba Mjini kihaba.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...