Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na wananchi katika kijiji cha Kipindimbi wilayani Kilwa
wakati alipotembelea maeneo yaliyoathirika kwa mafuriko katika mkoa wa
Lindi, Februari 5, 20-20. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akitazama eneo la mto Njinjo katika kijiji cha Kipindimbi wilayani Kilwa
lililoathiriwa mafuriko wakati alipotembelea maeneo yaliyokumbwa na
mafuriko katika mkoa wa Lindi, Februri 5, 2020. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Mjaliwa
akizungumza na wananchi katika kijiji cha Nambilanje wialyani Ruangwa
wakati alipotembelea maeneo yaliyokumbwa na mafuriko mkoani Lindi kuwapa
pole wananchi, Februari 5, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...