Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na Masoud Juma Hussein (Mtanzania Mfupi Zaidi Duniani kuweka rekodi ya Dunia [Guinness World Records] kwa kupanda mlima Kilimanjaro) nje ya ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo. Masoud Juma Hussein amefika Bungeni kushuhudia kikao cha 8 cha Mkutano wa 14 wa Bunge kwa mwaliko aliopewa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwa katika picha ya pamoja na Masoud Juma Hussein (Mtanzania Mfupi Zaidi Duniani kuweka rekodi ya Dunia [Guinness World Records] kwa kupanda mlima Kilimanjaro) nje ya ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo. Wengine ni
Samwel C. Malugu – Meneja wa Masoud na Edward Hugolin Shirima Msaidizi wake.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwa katika picha ya pamoja na Masoud Juma Hussein (Mtanzania Mfupi Zaidi Duniani kuweka rekodi ya Dunia [Guinness World Records] kwa kupanda mlima Kilimanjaro) nje ya ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo.

PICHA/WMU.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...