Naibu Waziri wa Madini, Mhe.Stanslaus Nyongo, akizungumza na wahariri
wa Vyombo vya Habari Nchini (hawapo pichani), leo katika Ofisi ndogo za
Wizara hiyo Jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano mkubwa Wa Madini
utakaofanyika katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es
Salaam, Tanzania kuanzia Februari 21 hadi 23, 2020.
Baadhi ya Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakimsikiliza
Naibu Waziri wa Madini, Mhe.Stanslaus Nyongo wakati wa Mkutano wake na
wahariri wa vyombo vya habari nchini leo katika Ofisi ndogo za Wizara
hiyo Jijini Dar es Salaam, kuhusu mkutano mkubwa Wa Madini utakaofanyika
katika Kituo cha Mikutano Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, Tanzania
kuanzia Februari 21 hadi 23, 2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...