RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiwa katika foleni akisubiri zamu yake katika zoezi la Uhakiki taarifa zake katika Daftari la Kudumu la WApiga Kura Zanzibar , katika Kituo cha Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe Jaji.Hamid Mahmoud,(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akihakiki Taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar, na Afisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Ndg. Salum Abdulrahaman Nadhif, alipofika Kituo Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja leo 29-2-2020, (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa  risiti na Afisa wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Salum. Abdulrahaman Nadhif, baada ya kumaliza kuhakiki taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar , katika Kituo cha Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja leo, 29-2-2020.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika Kituo cha Kuandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja , akisuburi Kitambulisho chake cha mpiga kura baada ya kuhakikiwa na Mkuu wa Kituo cha Kijiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja.Bi.Salma Abdulla Mussa.(Picha na Ikulu).
 MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akihakiki Taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura  Zanzibar, alipofika kuhakiki taarifa zake katika Kituo cha Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja leo, akifanyika uhakiki na Afisa wa (ZEC) Bi. Mwashamba Rashid Abuu.
 AIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitoka katika Kituo cha Kujiandikisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja baada ya kuhakiki taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar, baada ya kuhakiki taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar, katika Kituo cha kujiandisha Wapiga Kura Skuli ya Msingi Bungi Wilaya ya Kati Unguja  leo,29-2-2020, (kulia kwa Rais ) Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC) Mhe. Jaji. Hamid Mahmoud na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja. Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...