Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, akiwa na Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali baada ya kuwaapisha katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam Februari 3, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, akiwa na Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi katika picha ya pamoja na Kamishna Jenerali mpya wa Jeshia la Magereza Suleiman M. Mzee na Maafisa waandamizi wa jeshi hilo baada ya kumuapisha katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam Februari 3, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, akiwa na Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi katika picha ya pamoja na Kamishna Jenerali mpya wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji John Masunga na Maafisa waandamizi wa jeshi hilo baada ya kumuapisha katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam Februari 3, 2020



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...