Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) akiendesha Mkutano wa Utekelezaji Mpango Kazi wa Wizara
ya Vijana,Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa kipindi cha robo mbili
Julai-Disemba 2019 kwa mwaka wa Fedha 2019/2020 uliofanyika leo katika
Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,(Picha na Ikulu)
Waziri wa Vijana,Utamaduni,Sanaa na Michezo Balozi Ali Abeid Karume
(katikati) alipokuwa akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mapango
kazi kwa kipindi cha robo mbili Julai-Disemba 2019 kwa mwaka wa Fedha
2019/2020 katika mkutano wa Wizara hiyo uliofanyika leo katika ukumbi wa
Ikulu Mjini Zanzibar,(kushoto) Naibu Waziri Lulu Msham Abdalla na
Katibu Mkuu Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid
Yahya Mzee (kulia)
atibu Mkuu wa Wizara ya Vijana,Utamaduni,Sanaa na Michezo Nd,Omar
Hassan Omar (kushoto) alipokuwa akisoma taarifa ya Utekelezaji wa
Mapango kazi kwa kipindi cha robo mbili Julai-Disemba 2019 kwa mwaka wa
Fedha 2019/2020 katika mkutano wa Wizara hiyo uliofanyika leo katika
ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,chini ya Mwenyekiti wake Raios wa Zanzib
ar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo
pichani) na Naibu Katibu Mkuu Nd,Amourhamil Bakari (kulia)
Maafisa wa Idara mbali mbali za Wizara ya Vijana,Utamaduni,Sanaa na
Michezo wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza
katika Mkutano wa Utekelezaji Mpango Kazi wa Wizara kwa kipindi cha
robo mbili Julai-Disemba 2019 kwa mwaka wa Fedha 2019/2020 uliofanyika
leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Mshauri wa Rais masuala ya Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Chimbeni Kheir
Chimbeni (kulia) pamoja na Wakurugenzi katika Wizara ya
Vijana,Utamaduni,Sanaa na Michezo wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
alipokuwa akizungumza katika Mkutano wa Utekelezaji Mpango Kazi wa
Wizara kwa kipindi cha robo mbili Julai-Disemba 2019 kwa mwaka wa Fedha
2019/2020 uliofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar,(Picha
na Ikulu)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein (kulia) akiendesha Mkutano wa Utekelezaji Mpango Kazi wa Wizara ya
Vijana,Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa kipindi cha robo mbili
Julai-Disemba 2019 kwa mwaka wa Fedha 2019/2020 uliofanyika leo katika
Ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...