RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitia mchanga katika kaburi lililokuwa na  mwili wa Marehemu Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Jaji Mkusa Sepetu , wakati wa maziko hayo yaliofanyika Kijiji kwao Mbuzini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 16-2-2020(
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Karume na Wauminiu wa Dini ya Kiislam, wakiitikia dua baada ya kumaliza kuusalia mwili wa  Marehemi  aliyekuwa Jaji wa Mahkama Kuu  Zanzibar.  Mkusa Sepetu, iliofanyika katika Msikiti wa Ijumaa Mbuzini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akijumuika na Viongozi na Wananchi katika kisomo cha hitma kumuombea Marehemu Jaji  wa Mahkama Kuu Zanzibar  Mhe. Mkusa  Sepetu kabla ya kuusalia mwili wa marehemu katika Msikiti wa Ijumaa Mbuzini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja (kushoto kwa Rais) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali na (kulia kwa Rais) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe, Omar Othman Makungu, Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe. Said Hassan Said.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar  na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na (kushoto kwa Rais ) Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Karume na Viongozi na Wananchi mbalimbali wakiitikia dua ikisomwa na Sheikh Fadhil Soraga  baada ya kumalizika kwa  maziko ya Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Marehemu Jaji Mkusa Sepetu, yaliofanyika Kijiji kwao Mbuzini Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...