Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL), Mark Ocitti (kushoto), na balozi wa Uingereza, Sarah Cook, wakionja Whisky aina ya John Walker Blue Label katika hafla maalum ya ‘Whisky Tasting’ iliyoratibiwa na Serengeti Breweries Limited (SBL) ikilenga kuwapa nasasi wateja na wadau wengine kuonja ladha ya vinywaji vikali vinavyosambazwa na kampuni hiyo  ikiwamo Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake. Hafla iliyofanyika  kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es Salaam jana.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL), Mark Ocitti (kushoto), akichukua whisky  aina ya Johnnie Walker Blue Label katika hafla maalum ya ‘Whisky Tasting’ iliyofanyika katika makazi ya balozi huyo jijini Dar es Salaam.
 Balozi wa Johnnie Walker Afrika Mashariki, Marcus Kwikiriza, akizungumza wakati wa hafla maalum ya ‘Whisky Tasting’ iliyofanyika katika makazi ya balozi wa Uingereza jijini Dar es Salaam jana.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia Serengeti (SBL), Mark Ocitti, akizungumza katika hafla maalum ya Whisky Tasting iliyoratibiwa na Serengeti Breweries Limited (SBL) ikilenga kuwapa nasasi wateja na wadau wengine kuonja ladha ya vinywaji vikali vinavyosambazwa na kampuni hiyo ikiwemo Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake. Hhafla iliyofanyika kwenye makazi ya balozi wa Uingereza jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Uingereza  hapa nchini Sarah Cook, akizungumza katika hafla maalumu ya kuonja pombe kali aina ya Whisky iliyoratibiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries Limited (SBL) ikililenga kuwapa nafasi wateja na wadau wengine nafasi ya kuzifahamu na kuzionja  pombe kali zinazosambazwa na kampuni hiyo ikiwamo  Johnnie Walker inayotimiza miaka 200 tangu kuanzishwa kwake. Hafla iliyofanyika kwenye makazi ya balozi huyo jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...