Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai, akichangia jambo kwenye kikao kilichohudhuriwa na Wabunge wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge) 
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akichangia jambo kwenye kikao kilichohudhuriwa na Wabunge wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge) 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe Mheshimiwa Esther Matiko akichangia jambo kwenye kikao kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Mjumbe wa Chama cha Wabunge Vinara wa Lishe Dkt Christine Ishengoma akichangia jambo kwenye kikao kilicholenga kuboresha Lishe Bora Wilayani Kongwa kilichofanyika kwenye Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya hiyo hii leo. (Picha na Ofisi ya Bunge)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...