Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel(katikati) akikata utepe kuzindua duka la mtandao wa tigo mjini Geita.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (aliyevaa suti) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Uthmaan Madati, wakati wa uzinduzi wa duka la Tigo mjini Geita.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel (aliyevaa suti) akikata keki sambamba na wateja wa Tigo, wakati alipozinduka duka la kampuni hiyo ya mawasiliano mjini Geita.


Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel, akizungumza wakati wa hafla ya kuzindua duka la Tigo mjini Geita.







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...