Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiweka udongo kuunganisha
tofali kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa jengo jipya la
Mahkama Kuu Tanguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja,hafla
iliyofanyika leo na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali wa Kitaifa,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifungua pazia
kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa jengo jipya la
Mahkama Kuu Tanguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, katika hafla
iliyofanyika leo (kulia) Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu na
(kushoto) Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Khamis Juma Maalim

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) alipokuwa akizungumza
na Wananchi na Viongozi mbali mbali katika sherehe ya uwekaji wa jiwe
la msingi ujenzi wa jengo jipya la Mahkama Kuu Tanguu Wilaya ya Kati
Mkoa wa Kusini Unguja, katika hafla iliyofanyika leo

Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) alipokuwa akipata maelezo kutoka kwa Mshauri Mwelekezi wa Kampuni
ya (HABCONSULT LTD) Habib S.Nuhu Inayosimamia Ujenzi wakati alipokua
akiangalia ramani ya ujenzi wa jengo jipya la Mahkama Kuu Tanguu Wilaya
ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa uwekaji rasmi jiwe la msingi
ujenzi huo hafla iliyofanyika leo

Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(katikati) na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi
pamoja na Waziri wa Katiba na
Sheria Mhe.Khamis Juma Maalim (kushoto) na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar
Othman Makungu (kulia) wakijipongeza mara baada ya kufungua pazia
kama ishara ya uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa jengo jipya la
Mahkama Kuu Tanguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, katika hafla
iliyofanyika leo

Baadhi ya Viongozi mbali mbali wa
Idara ya Mahkama na Wafanyakazi wa kampuni ya Ujenzi wa jengo jipya la
Mahkama Kuu Tanguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja,wakiwa katika
hafla uwekaji wa jiwe la msingi jengo hilo uliofanywa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani) uliofanyika leo

Viongozi mbali mbali wa Idara ya Mahkama wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipokuwa akizungumza na Viongozi
na Wananchi mbali mbali wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi Ujenzi
wa jengo jipya la Mahkama Kuu Tanguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini
Unguja uliofanyika leo

Wananchi
mbali mbali wakiwa katika sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi Ujenzi
wa jengo jipya la Mahkama Kuu Tanguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini
Unguja uliofanywa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipokuwa akizungumza na Viongozi na Wananchi hao waliohudhuria katika hafla iliyofanyika leo

Vijana na Chama cha Mapinduzi
wakihamasisha wakati wa Sherehe za Uwekaji wa jiwe la msingi Jengo jipya
la Mahakama Kuu ya Zanzibar uliofanywa leo na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein Tunguu Wilaya ya
Kati Mkoa wa Kusini Unguja

Jengo jipya la Mahkama Kuu ya
Zanzibar linalojengwa na Kampuni ya ADVENT CONSTRUCTION LTD Wilaya ya
Kati Mkoa wa Kusini Unguja lililowekwa jiwe la msingi na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk.Ali
Mohamed Shein leo,[Picha na Ikulu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...