Mkurugenzi Mtendaji wa LSF Lulu Ngw’anakilala akitoa mada juu ya ushirikishwaji wa radio katika kuchochea haki na usawa kwa wananchi katika mkutano maalum wa kuadhimisha siku ya radio duniani uliofanyika Zanzibar.Hivi karibuni, LSF imeingia ubia na mtandao wa radio za kijamii TADIO ili kuwezesha wananchi hususani wapembezoni mwa nchi kupata elimu kuhusu maswala ya kisheria na upatikanaji wa haki (Picha kwa hisani ya LSF)

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...