Mkuu wa Jeshi la
Polisi Nchini IGP Sirro (kushoto) akizungumza na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya
Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) DR. Stergomena Tax, aliyemtembelea ofisini
kwake Makao Makuu Ndogo ya Jeshi hilo Jijini Dar es salaam leo na kujadiliana
masuala mbalimbali ya kiutendaji.
Mkuu wa Jeshi la
Polisi Nchini IGP Sirro (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mtendaji
wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini Mwa Afrika (SADC) DR. Stergomena Tax,
aliyemtembelea ofisini kwake Makao Makuu Ndogo ya Jeshi hilo Jijini Dar es
salaam leo na kujadiliana masuala mbalimbali ya kiutendaji. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...