Klabu ya JKT Tanzania Leo tarehe 18/03/2020 rasmi imevunja kambi yake kutokana na maelekezo yaliyotolewa Jana na Serikali kupitia Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa kuhusu zuio la kuwepo kwa mikusanyiko mbalimbali kutokana na kuwepo ugonjwa wa Corona hapa nchini.

Hivyo klabu yetu ya JKT Tanzania Leo imewaruhusu Wachezaji kwenda kwenye familia zao lakini wametakiwa kuendelea kujikinga na kufuata maelekezo yanayotolewa na serikali sambamba na wataalam wa afya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...