Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha  2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.


Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Katikati) na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Suleiman Mzee (Kulia) wakizungumza kabla ya kuanza kwa Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano  wa Pius Msekwa, Bungeni  Jijini Dodoma leo.


Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene  (Wapili kulia) akizungumza na Viongozi Wakuu wa Wizara hii kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha  2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.


Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nchi, Christopher Kadio (Wa kwanza kulia) akifafanua jambo kwa Viongozi Wakuu wa Wizara hii kabla ya kuanza kwa Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha  2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio (Kushoto) na  Naibu Katibu Mkuu, Ramadhani Kailima, wakisikiliza kwa makini maoni ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, wakati wa Kikao cha kupitia mapendekezo ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kilichofanyika leo jijini Dodoma.



Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ,(wa kwanza kushoto ), akifafanua jambo wakati   wa kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama cha kupitia mapendekezo ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kilichofanyika leo jijini Dodoma. 



Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nchi, Christopher Kadio, (aliyesimama) akifafanua jambo wakati wa Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kupitia mapendekezo ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kilichofanyika leo jijini Dodoma.

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, (aliyesimama) akifafanua jambo mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, wakati wa Kikao cha kupitia mapendekezo ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kilichofanyika leo jijini Dodoma.
 Baadhi ya Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vilivyopo  Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakiwa katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama kilichoketi kupitia mapendekezo ya Bajeti ya Wizara hii kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kilichofanyika leo jijini Dodoma.


Baadhi ya Watendaji kutoka Jeshi la Magereza, Zimamoto na Uokoaji na Idara ya Uhamiaji Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakiwa katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, kilichoketi kupitia mapendekezo ya Bajeti ya Wizara hii kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kilichofanyika leo jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...