Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan, akihutubia Taifa Kwenye Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani
iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri Bariadi Mkoani simiyu
leo March 08,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais )
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan, akipokea Maandamano kwenye Maadhimisho ya siku ya Wanawake
Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri Bariadi Mkoani
simiyu leo March 08,2020.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga akiongoza Maandamano kwenye
Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika
Uwanja wa Halmashauri Bariadi Mkoani simiyu leo March 08,2020.
Wananchi Wanawake Mkoani Simiyu wakiwa kwenye Maandamano ya kusherehekea
Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika
Uwanja wa Halmashauri Bariadi Mkoani simiyu leo March 08,2020.
Askari Polisi wa Kike wakiwa na Furaha Kwenye Maandamano ya siku ya
Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri
Bariadi Mkoani simiyu leo March 08,2020.
Mkurugenzi Mipango wa Pamba Samweli Kilua akimkabidhi Mkakati wa
Mapinduzi ya Kilimo cha Pamba Mkoani Simuyu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwenye maonesho ya
kilele cha siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja
wa Halmashauri Bariadi Mkoani simiyu leo March 08,2020.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan, akimsikiliza Afisa Mikopo katika benki ya Postal Bank Tanzani
TPB Tawi la Simiyu Shedrack Daudi alipotembelea banda la Banki hiyo
kwenye maonesho ya kilele cha siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika
Kitaifa katika Uwanja wa Halmashauri Bariadi Mkoani simiyu leo March
08,2020.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan, akiangalia moja ya aina ya bidhaa ya kitenge alipotembelea Banda
la Benki ya Posta Tanzania TPB Tawi la Simiyu kwenye maonesho ya kilele
cha siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika Kitaifa katika Uwanja wa
Halmashauri Bariadi Mkoani simiyu leo March 08,2020.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...