Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitembelea Hospitali  Mpya ya Mkoa wa Simiyu Wilayani Bariadi leo March 07,2020. Makamu wa Rais yupo Mkoani Simiyu kwa ziara ya kikazi. kulia Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, kushoto Mkuu wa Mkoa Simiyu Mhe. Antoni Mtaka.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hospitali Mpya ya Mkoa wa Simiyu Dk. Festo Dugange kuhusu Vifaa Vipya vilivyofungwa kwenye Hospitali hiyo leo March 07,2020 wakati alipotembelea kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya kiutendaji ambapo ameridhishwa na hatua iliyofikiwa katika Hospitali hiyo. kushoto Waziri wa afya Ummy Mwalimu.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wauguzi  wa Hospitali Mpya ya Mkoa wa Simiyu wakati alipotembelea Hospitali hiyo leo March 2020 kwa ajili ya kuangalia maendeleo ya kiutendaji ambapo ameridhishwa na hatua iliyofikiwa katika Hospitali hiyo.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...