Drama ya The General's  daughter inamzungumzia Binti wa kifilipino aitwaye Rhian ambaye ni nesi katika  Jeshi,anafundishwa mbinu za kipelelezi na kijeshi  kumuangamiza baba yake halisi bila yeye kujua.

Unakosaje kuangalia Drama kali kama hii? Startimes Tanzania itarusha kipindi hiki kuanzia tarehe 25 Machi, kila siku kuanzia Jumatatu mpaka Jumapili saa 3 Usiku kwenye Chaneli ya ST Novela E.
Lipia sasa kifurushi  ili ushuhudie Drama hii kali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...