Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji (mstaafu), Dkt. Steven James Bwana (Kushoto), akimuapisha ndugu Mussa Magunguli (Kulia) kuwa Kaimu Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathmini katika Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma. Wanaoshuhudia ni baadhi ya Viongozi wa Tume, hafla fupi  ya kumuapisha imefanyika leo katika Ofisi ya Tume jijini Dar es Salaam. (Picha na PSC).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...