Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Benaya Kapinga amewataka wananchi kuchukua tahadhari na ugonjwa wa corona kwani Wilaya hii ipo mpakani
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya wagonjwa watakaopatikana na corona ndani ya Wilaya hiyo
Sambamba na Hilo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Ally Machela amesema wanatarajia kuagiza vipima joto mwili ambavyo vitasaidia kupima joto kwa mbali hususan kwenye maeneo ya mpakani
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya wagonjwa watakaopatikana na corona ndani ya Wilaya hiyo
Sambamba na Hilo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Ally Machela amesema wanatarajia kuagiza vipima joto mwili ambavyo vitasaidia kupima joto kwa mbali hususan kwenye maeneo ya mpakani
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Benaya Kapinga
Unaweza kuitumia picha hii ya Kaimu DC Benaya Kapinga akiwa na afisa Afya
Mganga Mkuu wa Hospital ya Wilaya Antpasi Swai
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Tandahimba Ally Machela akielezea jambo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...