WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe. Balozi Amina Salum Ali, akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi waBidhaa ya Chumvi ya Zalt inayotengenezwa na Kampuni ya Swahili Coast Salt, hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na. Mpiga Picha Wetu)

WAZIRI wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe. Balozi Amina Salum Ali, akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuni ya Swahili Coast Salt.Bi. Stephanie Said, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Chumvi ya Zalt (Zanzibar Salt With a Story)AzAinayotengeneza Pemba na kampuni hiyo, hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na Mpiga Picha Wetu)
MKURUGENZI wa Kampuni ya Swahili Coast Salt, inayotengeneza bidhaa ya chumvu ya Zalt.Bi.Stephanie Said, akitowa maelezo ya kitaalam ya uzalishaji wa bidhaa hiyo ya chumvi  wakati wa hafla ya uzinduzi wake uliofanyika katika mgahawa wa 6Degress South shangani Jijini Zanzibar, kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin kuzungumza na kuzundua bidhaa hiyo.(Na Mpiga Picha Wetu) 

WAALIKWA katika hafla ya uzinduzi wa Chumvi ya Zalt inayozalishwa na Kampuni ya Swahil Coast Salt, wakipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa kampuni hiyo.Bi, Kika Toscano,(katikati) akitowa maelezo ya bidhaa hiyo wakati wa hafla ya uzinduzi huo uliofanyika katika mgahawa wa 6Degress South shangani Jijini Zanzibar.(Na Mpiga Picha Wetu)
WAGENI waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa bidhaa ya Chumvi ya Zalt inayotengenezwa na Kampuni ya Swahili Coast Salt Zanzibar, wakimsikiliza Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar.Mhe Balozi Amina Salum Ali.(hayupo pichani) akizungumza wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na. Mpiga Picha Wetu)
MWAKILISHI wa Kampuni ya Swahil Coast Salt.Bi.Kika Toscano akitowa maelezo ya chumvi ya Zalt, kwa wageni waalikwa katika hafla hiyo ya ufunguzi wa chumvi hiyo ikiwa katika vifungashio vha aina mbalimbali, uzinduzi huo umefanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijini Zanzibar.(Na Mpiga Picha Wetu)
BAADHI  ya wageni waalikwa wa hafla ya Uzinduzi wa Chumvi ya Zalt inayotengenezwa na Kampuni ya Swahili Coast Salt, wakiangalia vipeperushi vinavyoelezea bidhaa hiyo ya chumvu wakati wa hafla hiyo, iliofanyika katika mgahawa wa 6Degress South Shangani Jijin I Zanzibar.(Na Mpiga Picha Wetu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...