Mkurugenzi Msaidizi Rasilimaliwatu, Hilda Tegwa (Wa tatu kulia) akisisitiza matumizi ya kunawa mikono kwa baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ili kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Covid-19. Tukio hilo limefanyika leo katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi Rasilimaliwatu, Hilda Tegwa (Wa tatu kulia) akitakasa mikono yake kwa ajili ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Covid-19, wengine ni baadhi ya Watumishi wa  Wizara hiyo wakisubiri kutakasa mikono yao kabla ya kuingia katika Ofisi za Wizara hiyo, Jijini Dodoma leo.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya kuzuia na kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakitazama moja kati ya vifaa kwa ajili ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 kwa Watumishi wa Wizara hiyo na wageni wanaofika katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa kamati ya kuzuia na kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakitazama moja kati ya vifaa kwa ajili ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 kwa Watumishi wa Wizara hiyo na wageni wanaofika katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma.
Baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakitakasa mikono yao katika moja ya kifaa kwa ajili ya kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 kwa Watumishi wa Wizara hiyo na wageni wanaofika katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...