Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (watatu kulia), akimpa mtoto Sada Abdallah, sadaka ya Begi na Mchele wakati wa ugawaji wa sadaka ya Sikukuu ya Eid  uliofanyika leo  katika Ofisi ya Taasisi ya  Misaada kwa Binadamu ya Abdullah kutoka nchini Uingereza yenye tawi lake Vingunguti jijini Dar es Salaam.Wapili kulia ni Mstahiki Meya wa Ilala, Omary Kumbilamoto.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi  
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni  akikabidhi sadaka ya Eid kwa mzazi wa mtoto  wakati wa ugawaji wa sadaka hiyo iliyotolewa na Taasisi ya  Misaada kwa Binadamu  ya Abdullah kutoka nchini Uingereza yenye tawi lake Vingunguti jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi  
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na wazazi wa watoto  muda mfupi baada ya kuwakabidhi sadaka ya Sikukuu ya Eid  iliyotolewa leo na Taasisi ya  Misaada kwa Binadamu ya Abdullah kutoka nchini Uingereza yenye tawi lake Vingunguti jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...