Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza wakati akifungua mafunzo ya ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsia kwa Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa  Wabunge wanaume Vinara wa Jinsia Mhe. William Ngeleja na kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Umoja ya Wabunge Wanawake (TWPG) Mhe. Zainab Vullu.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza wakati akifungua mafunzo ya ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsi Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika Ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa  Wabunge wanaume Vinara wa Jinsia Mhe. William Ngeleja akimkaribisha mgeni rasmi, Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, katika mafunzo ya ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsia kwa Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma
Kaimu Mwenyekiti wa Umoja ya Wabunge Wanawake (TWPG) Mhe. Zainab Vullu akitoa maneno ya utangulizi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsia kwa Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma.  Katikakti ni Mgeni Rasmi, Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson,  na kulia kwa mgeni Rasmi ni Mwenyekiti wa Umoja wa  Wabunge wanaume Vinara wa Jinsia Mhe. William Ngeleja.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Mwenyekiti wa Umoja wa  Wabunge wanaume Vinara wa Jinsia Mhe. William Ngeleja wakimsikiliza Mtoa mada kutoka chuo kikuu cha Dodoma Dkt. Godfrey Sansa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsia kwa Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma. 
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Mwenyekiti wa Umoja wa  Wabunge wanaume Vinara wa Jinsia Mhe. William Ngeleja wakimsikiliza Mtoa mada kutoka chuo kikuu cha Dodoma Dkt. Godfrey Sansa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa masuala ya kijinsia kwa Wabunge Wanaume vinara wa masuala ya jinsia, katika ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...