Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa kilele cha  maadhimisho ya wiki ya Wauguzi katika   Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge na kushoto kwake ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dkt. Ernest Ebenzi.
Baadhi ya Wauguzi wa   Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson   wakati wa kilele cha  maadhimisho ya wiki ya Wauguzi Duniani.
 Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akikagua ukarabati uliofanyika katika Wodi ya Watoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wakati wa kilele cha  maadhimisho ya wiki ya Wauguzi. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge na Wakwanza kulia ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dkt. Ernest Ebenzi.
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akikata utepe kuzindua Wodi ya Upasuaji ya Wanawake katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma ambayo ilikuwa katika marekebisho wakati wa kilele cha  maadhimisho ya wiki ya Wauguzi. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge na kushoto kwake ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dkt. Ernest Ebenzi.
Baadhi ya Wauguzi wa   Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma wakila kiapo cha utendaji kazi  wakati wa kilele cha  maadhimisho ya wiki ya Wauguzi Duniani.
PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...