RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi wa Serikali alipowasili Uwanja wa Ndege Chakechake Pemba akiwa katika ziara yake ya kikazi .(Picha na Ikulu)
 BAADHI ya Viongozi wa Mikoa Miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) akizungumza na Viongozi hao katika ukumbi Ikulu Ndogo Chakechake Pemba leo 12/5/2020.(Picha na Ikulu)
 MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Hemed Suleiman akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya Mkoa wa Kusini wakati wa mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo chakechake Pemba leo 12/5/2020.(Picha na Ikulu)
 .MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Omar Khamis Othman akisoma taarifa ya utekelezaji ya Mkoa wake wa Kaskazini Pemba wakati wa mkutano wa Viongozi wa Mikoa Miwili ya Pemba uliofanyika katika ukumbi Ikulu Ndogo Chakechake Pemba uliofanyika leo 12/5/2020.(Picha na Ikulu)
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Ussi Gavu akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe., Dk. Ali Mohamed Shein, kuzungumza na Viongozi wa Serikali wa Mikoa miwili ya Kusini na Kaskazini Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba leo 12/5/2020.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Viongozi wa Mikoa miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba, katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake, akiwa katika ziara yake ya Siku mbili Pemba.(Picha na Ikulu)
 BAADHI  ya  Viongozi  wa  Serikali kutoka Mikoa miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) akizungumza wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba leo 12/5/2020.(Picha na Ikulu)
 BAADHI ya Viongozi wa Serikali na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama, wakifuatilia mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba, akiwa katika ziara yake ya siku mbili.(Picha na Ikulu)
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzin Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza wakati wa mkutano wake na Viongozi wa Serikali wa Mikoa miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba akiwa katika ziara yake ya Siku mbili Kisiwani Pemba.(Picha na Ikulu)
 
KAMANDA wa Chuo Cha Mafunzo Sharif Ahmada Ali akisoma dua baada ya kumalizika kwa mkutano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Ndogo Chakechake Pemba.(Picha na Ikulu)    

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...