

……………………………………………………………..
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius
Byakanwa amemuapisha mkuu mpya wa wilaya ya Mtwara Dunstan Kyobya, ambae
uteuzi wake umefanywa Mei 6 mwaka huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dokta John Pombe Magufuli.
Moja ya maelekezo ya mkuu wa mkoa
Byakanwa kwa mkuu mpya wa wilaya ya Mtwara ni Pamoja na kuendeleza
mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na
virusi vya Corona Covid 19.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...