
Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(kulia) walipokabidhi misaada mbalimbali ya usafi kwaajili ya kuunga mkono juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa corona,kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Mwedo,Dk Eliamani Laltaika.

Katibu Tawala mkoa wa Arusha,Richard Kwitega(kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Ndinini Kimesera(wa tatu kushoto) walipokabidhi misaada mbalimbali ya usafi kwaajili ya kuunga mkono juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa corona, ni Makamu Mwenyekiti wa Mwedo,Dk Eliamani Laltaika.

Makamu Mwenyekiti wa shirika la Maasai Women Development Organization(MWEDO),Dk Eliamani Laltaika(wa pili kulia),Mkurugenzi wa shirika hilo,Ndinini Kimesera(wa pili kushoto),Afisa Maendeleo ya Jamii mkoa wa Arusha,Blandina Nkini(kushoto) na Mjumbe wa bodi ya Mwedo,Esupat Ngurupa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...