Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja Mkuu wa Mkoa wa Arusha Idd Hassan Kimanta watatu kutoka kulia mara baada ya hafla fupi ya uapisho. Wengine katika picha ni Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Laurian Ndumbaro, Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dkt. John Pima wakwanza kulia mstari wa mbele, Jerry Mwaga Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua wakwanza kushoto, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Bakari Msulwa wapili kutoka kushoto, Mkuu wa Wilaya ya Monduli ACP Edward Balele wapili kutoka kulia pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan kihongosi. Mstari wa Nyuma waliosimama ni Katibu Mkuu Ikulu Dkt. Moses Kusiluka pamoja na Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...