Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akizungumza kuhusu sababu za kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa  Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT). Kailima, amezungumza leo  katika Mkutano  na waandishi wa habari uliofanyika, jijini Dodoma.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (kushoto) akizungumza kuhusu sababu za kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa  Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) kutokana na malalamiko mengi ya Wafugaji Tanzania kuwa Chama chao kina Viongozi ambao hawapo kwa mujibu wa Katiba kutokana na muda wao kuisha. Kailima, amezungumza leo katika Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika, jijini Dodoma. Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wafugaji Tanzania, Magembe Makoye.
 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima(Kushoto) akionyesha Katiba ya Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) inayoelezea masharti ya namna mtu anavyotakiwa kujiunga na uanachama wa Chama hicho, Katiba hiyo ilipitishwa na wanachama wa Chama hicho 26 Oktoba 2013 katika Mkutano wao Mkuu uliofanyika Jijini Dodoma. Kailima, amezungumza  katika Mkutano  na waandishi wa habari uliofanyika, Dodoma leo. Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wafugaji Tanzania, Magembe Makoye.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Wafugaji Tanzania, Magembe Makoye (Kulia) akifafanua jambo kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (Kushoto) walipokuwa katika Mkutano na waandishi wa habari uliofanyika, jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (Kushoto) akionyesha Katiba ya Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) inayoelezea masharti ya namna mtu anavyotakiwa kujiunga na uanachama wa Chama hicho, Katiba hiyo ilipitishwa na wanachama wa Chama hicho 26 Oktoba 2013 katika Mkutano wao Mkuu uliofanyika Jijini Dodoma. Kailima, amezungumza  katika Mkutano  na waandishi wa habari uliofanyika, Dodoma leo. Kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wafugaji Tanzania, Magembe Makoye.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...