************************************
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Komred Kheri James amepasua ngome ya Upinzania katika Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro kwa Kupokea Viongozi mbalimbali wa Chama Hicho.
Viongozi walio pokelewa leo ni Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Rombo ndg Athuman Mohammed Kimario ,Mwenyekiti wa Halmashauri ya Rombo Evarist Silayo Mgoyoni,na Madiwani Simon Peter Marandu kata ya Mrire,Justina Maliangu Mkenda kata kisale,Paul Adelaro ulimalya kata ya Aleni,Nicholaus Kimario kata ya kitongo wamejiunga na Chama cha Mapinduzi CCM muda huu katika ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Komredi Kheri Denice James inayoendelea Wilayani humo muda huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...