Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne
Jakaya Kikwete wakitoa heshima baada ya kuweka mashada ya maua kwenye
kaburi la aliyekuwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza katika mazishi
yaliyofanyika Gitega nchini Burundi, Juni 26, 2020. Wa pili kushoto ni
Mama Salma Kikwete na wa Nne kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini
Burundi, Dkt. Jilly Elibariki Maleko.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...