Mbunge wa Viti Maalum  kupitia CHADEMA, Latifa Chande akitamka bungeni kukihama chama hicho kwa kusema anarejea nyumbani CCM Juni 15, 2020. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Grace Kiwelu na kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Risala Kabongo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Viti Maalum  kupitia CHADEMA, Latifa Chande akitamka  kukihama chama hicho kwa kusema anarejea nyumbani CCM, Bungeni jijini Dodoma, Juni 15, 2020. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA Grace Kiwelu . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Mbunge wa Viti Maalum   kupitia CHADEMA, Latifa Chande  akifurahi baada ya kutamka kukihama chama hicho kwa kusema anarejea nyumbani CCM, Bungeni jijini Dodoma, Juni 15, 2020. Kulia ni Mbunge wa Viti Maalum kupitia CHADEMA, Grace Kiwelu na kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Risala Kabongo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...