Shabiki wa Yanga akifanya minjonjo yake kushangilia Yanga kusawazisha bao dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma . Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
Wana Yanga wakifurahia bao la kusawazisha lililofungwa na Patrick Sibomana
Bao la kuswazisha lililofungwa na Sibomana
Wachezaji wa Yhanga wakishangilia
Ni furaha iliyoje kwa wana Yanga hao wakiongozwa na mtoto anayepuliza katarumbeta
Mashabiki wa JKT Tanzania, wengi wao wakiwa wapenzi wa Simba wakishangilia bao la kuongoza
Kukuru kakara za kuwania mpira
Wapenzi wa Simba wakiwa wameduwaa baada ya Sibomana wa Yanga kufunga bao la kusawazisha katika kipindi cha pili cha mchezo huo.
Sehemu ya umati wa wapenzi wa soka waliofika kushuhudia mtanange huo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...