Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na Wadau wa Sekta ya Utalii na Waandishi wa Habari leo jijini Arusha wakati wa Uzinduzi rasmi wa Mwongozo wa Taifa wa Uendeshaji wa shughuli za Utalii nchini Tanzania wakati huu wa janga la CORONA.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla (Kulia) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolf Mkenda wakiangalia kurasa na maudhui ya  Mwongozo wa Taifa wa Uendeshaji wa shughuli za Utalii nchini Tanzania wakati huu wa janga la CORONA baada ya kuuzindua rasmi leo jijini Arusha.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na Watendaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii leo jijini Arusha mara baada ya Uzinduzi rasmi wa Mwongozo wa Taifa wa Uendeshaji wa shughuli za Utalii nchini Tanzania wakati huu wa janga la CORONA.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla (Katikati), Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Constantine Kanyasu (wan ne kutoka kulia), Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Adolf Mkenda (wa Pili kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Dkt. Aloyce Nzuki, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Devotha Mdachi na Viongozi wa Vyama vya Mawakala wa Utoaji wa huduma za Utalii nchini Tanzania wakionesha  Mwongozo wa Taifa wa Uendeshaji wa shughuli za Utalii nchini Tanzania wakati huu wa janga la CORONA mara baada ya kuzinduliwa rasmi leo jijini Arusha.
Wadau wa Sekta ya Utalii wakifuatilia tukio la Uzinduzi  wa Mwongozo wa Taifa wa Uendeshaji wa shughuli za Utalii nchini Tanzania wakati huu wa janga la CORONA.PICHA/Aron Msigwa – WMU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...