Mchumi Mkuu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Bi. Sarah Mshui akieleza jambo kuhusu masuala ya Hifadhi ya Jamii kwa wadau walipokutana kwa ajili ya mafunzo maalumu ya kujengewa uelewa kuhusu Kinga ya Jamii katika Ukumbi wa Mikutano wa PSSSF, Jijini Dodoma.
Sehemu ya wadau wakijadili jambo wakati wa mafunzo hayo ya kuwajengea uelewa kuhusu masuala hifadhi ya jamii.
Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka TAMISEMI, Bi. Mariam Nkumbwa (kushoto) akichangia mada wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa PSSSF, Jijini Dodoma.
Mtaalamu wa Kinga ya Jamii, Dkt. Flora Miyamba akitoa mada kwa wadau kuhusu masuala ya Kinga ya Jamii.
Afisa Maendeleo ya Jamii, kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bi. Herieth Mwamba (kushoto) akieleza jambo wakati wa mkutano huo.  
Baadhi ya wadau waliohudhuria mafunzo hayo wakiwa wamewaka daftari “Notebook” kichwani kama ishara ya kumkinga wananchi na changamoto mbalimbali. PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU
(KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU)
OWM – KVAU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...