Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt Hamis Kigwangala akiongea na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt. Noel Lwoga alipotembelea Makumbusho ya Taifa leo
Waziri wa Maliasili na Utalii akitembea katika viwanja vya Makumbusho ya Taifa kulia kwake ni Balozi wa Finland nchini Tanzania Mhe. Riitta Swan, kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni, Achiles Bufure na nyuma yake ni Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Dkt. Noel Lwoga.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Hamis Kigwangala akifurahia magari ya historia alipotembelea Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt. Noel Lwoga
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dkt. Hamis Kigwangalla akipimwa joto wakati alipoingia Makumbusho ya Taifa. Wanaotazama ni Balozi wa Finland nchini Tanzania, Mhe Riitta Swan na Mkurugenzi wa Makumbusho ya Taifa, Dkt. Noel Lwoga.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe Dkt. Hamis Kigwangalla akitakasa mikono yake mara baada ya kuingia Makumbusho ya Taifa na kushuhudia hatua zote za usalama dhidi ya ugonjwa wa corona zikifuatwa na kujihakikishia kuwa Makumbusho ni Salama.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...