"Mzee Benjamin William Mkapa alikuwa kiongozi mwenye uzalendo wa hali ya juu kwa nchi yetu na Afrika."

Alikuwa mwenye ndoto na maono makubwa ya Afrika kutumia utajiri wa rasilimali ilizonazo na idadi kubwa ya watu kujitegemea kiuchumi."

 Alihimiza umoja, amani na mshikamano kama msingi muhimu kwa maendeleo. "

"Hakika tumempoteza kiongozi mahiri ambaye ushauri wake na uzoefu wake bado vilihitajika. "

"Natoa pole kwa Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli, familia yake na watanzania wote kwa msiba huu. Tunauombea apumzike kwa amani."

Dkt Charles Stephen Kimei

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...