Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) alipokuwa akiendesha kikao cha siku moja cha Kamati
Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika
Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar kwa ajili ya
kuhakiki na mustakabali wa kutafuta na kumuweka Kiongozi Mpya wa
Zanzibar ambacho hufanyika kila baada ya miaka (kushoto) Makamo wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan na
(kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Juma Abdalla Juma (Mabodi).
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein (katikati) alipokuwa akiendesha kikao cha siku moja cha Kamati
Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika leo katika
Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar kwa ajili ya
kuhakiki na mustakabali wa kutafuta na kumuweka Kiongozi Mpya wa
Zanzibar ambacho hufanyika kila baada ya miaka mitano.[[Picha na
Ikulu].[Picha na Ikulu.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar
Dk.Juma Abdalla Juma (Mabodi) (kulia) akimkaribisha Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) kufungua kikao cha siku moja cha
Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kwa ajili ya kuhakiki
na mustakabali wa kutafuta na kumuweka Kiongozi Mpya wa Zanzibar
kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini
Zanzibar (kushoto) Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mama Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed
Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdalla
Juma Saadala (Mabodi) pamoja na Viongozi wengine mara alipowasili
katika Viwanja vya Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo,
aliposhiriki katika Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM
(NEC) kwa ajili ya kuhakiki na mustabali wa kutafuta na kumuweka
Kiongozi Mpya wa Zanzibar kilichofanyika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui
Mjini Zanzibar ambapo kila baada ya miaka mitano kinafanyika.
Baadhi ya Wajumbe kikao cha Kamati
Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakisoma makabrasha kabla ya
kuanza kwa Kikao cha siku moja chini ya Mwenyekiti wake Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa
CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) ambacho hufanyika
kila baada ya miaka mitano kwa kuhakiki na kutafufa kumuweka Kiongozi
mpya wa Zanzibar, kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Mjini Zanzibar
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...