Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima(Kulia) akizungumza katika
Kikao cha Kumpitisha kwenye Mpango wa Ununuzi wa Mwaka 2020/2021. Kikao
hicho kimehusisha Wakuu wa Idara na Vitengo, Makamishna wa Fedha na
Wakuu wa Manunuzi wa Vyombo vilivyomo ndani ya Wizara hiyo. Kikao hicho
kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji Makao Makuu, Jijini Dodoma. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa
Kitengo cha Ununuzi na Ugavi, Peter Bundala.
Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha
Ununuzi na Ugavi, Peter Bundala(Kushoto) akifafanua jambo kwa Naibu
Katibu Mkuu, Ramadhani Kailima(Kulia) katika Kikao cha Kumpitisha kwenye
Mpango wa Ununuzi wa Mwaka 2020/2021, kikao hicho kimeshirikisha Wakuu
wa Idara na Vitengo, Makamishna wa Fedha na Wakuu wa Manunuzi wa Vyombo
vilivyomo ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Kikao kimefanyika
leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Makao
Makuu, Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya Sera na
Mipango, Wanja Mtawazo, akizungumzia Utangazaji wa Zabuni katika Kikao
cha Kumpitisha, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Ramadhani Kailima(hayupo pichani) kwenye Mpango wa Ununuzi wa Mwaka
2020/2021. Kikao hicho kimehusisha Wakuu wa Idara na Vitengo, Makamishna
wa Fedha na Wakuu wa Manunuzi wa Vyombo vilivyomo ndani ya Wizara hiyo.
Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Jeshi la
Zimamoto na Uokoaji Makao Makuu, Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Huduma
za Sheria, Marlin Komba(katikati) akifafanua jambo juu ya Kuandaa Mfumo
wa Manunuzi katika Kikao cha Kumpitisha, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima(hayupo pichani) kwenye Mpango
wa Ununuzi wa Mwaka 2020/2021. Kikao hicho kimehusisha Wakuu wa Idara na
Vitengo, Makamishna wa Fedha na Wakuu wa Manunuzi wa Vyombo vilivyomo
ndani ya Wizara hiyo. Kikao kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Makao Makuu, Jijini Dodoma leo.
Kamishna wa Fedha na Utawala,
Idara ya Uhamiaji, Edward Chogero (Wa kwanza kushoto) akizungumzia
Changamoto za Mfumo wa Manunuzi katika Kikao cha Kumpitisha Naibu Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima(hayupo
pichani) kwenye Mpango wa Ununuzi wa Mwaka 2020/2021. Kikao hicho
kimeshirikisha Wakuu wa Idara na Vitengo, Makamishna wa Fedha na Wakuu
wa Manunuzi wa Vyombo vilivyomo ndani ya Wizara hiyo. Kikao hicho
kimefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
Makao Makuu, Jijini Dodoma leo.
Mkaguzi Mkuu wa Ndani, Martina
Nguluma(Kulia) akifafanua jambo kuhusu gharama za manunuzi kwenye Kikao
cha Kumpitisha, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,
Ramadhani Kailima(hayupo pichani) kwenye Mpango wa Ununuzi wa Mwaka
2020/2021. Kikao hicho kimehusisha Wakuu wa Idara na Vitengo, Makamishna
wa Fedha na Wakuu wa Manunuzi wa Vyombo vilivyomo ndani ya Wizara hiyo.
Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Jeshi la
Zimamoto na Uokoaji Makao Makuu, Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wakuu wa Idara na
Vitengo, Makamishna wa Fedha na Wakuu wa Manunuzi wa Vyombo vilivyomo
ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakifuatilia kikao
kilichokuwa kinaendelea cha Kumpitisha, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara
hiyo, Ramadhani Kailima(hayupo pichani) kwenye Mpango wa Ununuzi wa
Mwaka 2020/2021. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano
wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Makao Makuu, Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wakuu wa Idara na
Vitengo, Makamishna wa Fedha na Wakuu wa Manunuzi wa Vyombo vilivyomo
ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakifuatilia kikao
kilichokuwa kinaendelea cha Kumpitisha, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara
hiyo, Ramadhani Kailima(hayupo pichani) kwenye Mpango wa Ununuzi wa
Mwaka 2020/2021. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano
wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Makao Makuu, Jijini Dodoma.
Afisa Ugavi Kitengo cha Ununuzi na
Ugavi, Alex Leopord (aliyesimama), akiwaongoza, Naibu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, Wakuu wa Idara na
Vitengo, Makamishna wa Fedha na Wakuu wa Manunuzi wa Vyombo vilivyomo
ndani ya Wizara hiyo kwenye Kikao cha Mpango wa Ununuzi wa Mwaka
2020/2021. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Makao Makuu, Jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...