Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kukamilika kwa taratibu za kuwapata wagombea Viongozi wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) ngazi ya Taifa. Kailima amezungumza leo katika Ofisi ndogo za Wizara hiyo, Jijini Dar es SalaamNaibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima, akiwataja wagombea wa nafasi mbalimbali katika Uongozi wa Chama  cha Wafugaji Tanzania (CCWT). Uchaguzi wa Viongozi hao unatarajia kufanyika tarehe 19 Julai, 2020 utakaowezesha Wanachama kupata haki ya kushiriki katika Mkutano huo Mkuu kuwachagua Viongozi wa Chama hicho ngazi ya Taifa. Kailima amezungumza na waandishi wa habari katika Ofisi ndogo za Wizara hiyo, Jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...