Mapema leo Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini
CP Liberatus Sabas, amewasili mkoani Iringa kwaajili ya ukaguzi wa
utayari wa Askari mkoani humo katika hichi kipindi cha kuelekea uchaguzi
Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani. (PICHA NA JESHI LA POLISI)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...