Kaimu Mkurugezi Mtendaji wa Shirika la Taifa la Madini (STAMICO) Dkt. Venance Mwasse akipata maelezo kwa wafanyakazi wa shirika hilo namna wanavyotoa huduma kwa wananchi katika Maonesho biashara kimataifa (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugezi Mtendaji wa Shirika la Taifa la Madini (STAMICO) Dkt. Venance Mwasse akizungumza na wafanyakazi wa shirika Hilo kuhusiana na kutoa elimu kwa wananchi kujua shirika hilo namna wanavyoweza kutumia fursa katika uchimbaji wa madini katika kufuafa taratibu wakati alipotembelea banda la Stamico katika maonesho ya sabasaba yanayofanyika katika viwanja Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mtaalam wa kuchakata madini ya Metal Sikini Nyakisinda akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea Banda la Stamico katika maonesho sabasaba yanatofanyika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Mchakataji wa Madini wa Stamico Denis Silas akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea Banda la Stamico katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...