Wakili na Kada Mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Emanuel Mlaki akikabidhiwa fomu za kuwania nafasi ya Ubunge katika jimbo la Vunjo ndani ya CCCM,naye mkabidhi ni katibu wa CCM wilaya ya Moshi ,Miriam Kaaya .
Wakili na Kada Mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Emanuel Mlaki akiwa ameongozana na mama yake mzazi wakati wa zoezi la uchukuaji wa fomu hizo ,
Wakili na Kada Mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Emanuel Mlaki akionesha fomu ya kuwania Ubunge katika jimbo la Vunjo kupitia ndani ya Chama cha Mapinduzi.
Na Dixo Busagaga,Moshi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...