WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent  Bashungwa ametembelea Banda la Wakala wa Vipimo nchini (WMA) kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.

Mhe. Bashungwa amesisitiza WMA kuendelea kufanya kazi kwa bidii ikiwa ni pamoja  kuhakikisha vipimo vyote nchini vinakuwa sahihi ili Tanzania iweze  kufikia Uchumi wa Viwanda ambapo tayari tumefikia Uchumi wa Kati kwa mwaka huu wa 2020. 

Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent  Bashungwa akinyanyua jiwe la mzani katika Maonesho ya viwanja vya Julius Nyerere maarufu kama Sabasaba, barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...